amreezle

amreezle

Wednesday, November 9, 2011

attack


-New song from MWANA FA feat WYRE coming soon!

Hamis Mwinjuma msanii wa Bongo Flava anayejulikana kama MwanaFa yuko jijini Nairobi akimalizia Track yake aliyofanya na msanii kutoka nchini umo Wayre.  ngoma yake hiyo ambayo imefanywa na Hermy B na Wayre kuingiza Verse yake moja ambayo inatarajiwa kuwa na frava za kufa mtu. FA ameongeza kwamba video ya wimbo huo ambao hakupenda kuutaja jina inafanywa  jijini nairobi ingawa hakugusia ni kampuni gani ya video itafanya video hiyo. haya kaka...mimi nakutakia kila la kheri kwa safari yako ya kuitangaza tanzania katika ramani ya mziki.

0 comments:




-Braxton Family Drama that You Would Not Believe


click to read


Whitney and Jordan Talk about the Making of Sparkle

whitney houston and jordan sparks talk about the sparkle remake
click to read


- Rapper Creates a Catchy Kirk Franklin Dance

Rapper Creates a Catchy Kirk Franklin Dance
click to read


Serena Williams Locks Herself.......




-Serena Williams Locks Herself in Panic Room To Avoid Drug Tester?

image
Serena Williams is known for, what is perceived by many, her paranoia on the tennis court; her stance often being that people are out to get her and see her fail.
This, though, takes the cakes. (Pun intended)

- SUGU AHAHIDI KUFANYA MAAJABU SIKU YA SHOW YA ANTI-VIRUS PALE VIWANJA VYA USTAWI WA JAMII TAREHE 26 NOV 2011

MBUNGE wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema kuwa ameiteua Novemba 26, 2011 kuwa siku yake maalum ya kufanya maajabu.

Sugu a.k.a Mr. II ameliambia Uwazi kwamba Novemba 26, mwaka huu atakamata ‘mic’ na kupiga bonge la shoo kwenye Viwanja vya Posta, Mikocheni (Kijitonyama), Dar es Salaam.

“Nitasimama na wanangu wote ambao ni wanaharakati. Tutapiga shoo kali. Nitakumbushia ngoma zangu zote zilizoniweka juu kwa zaidi ya miaka 20 ambayo nipo kwenye gemu,” alisema Sugu.

Aliendelea kusema: “Tamasha tumeliandaa wenyewe kupitia kampuni yetu ya Deiwaka Entertainment, linaitwa Burudani, Muziki Unalipa. Washkaji kama Mkoloni (Fred Maliki), Soggy Dog (Anselm Ngaiza), Dani Msimamo, Suma G, Mapacha na wengine kibao watakuwepo.

“Kuna mambo ya Anti Virus, yanazungumzwa sana, siku hiyo kila kitu kitakuwa wazi. Tutahakikisha tunapiga shoo kali ambayo itaacha historia hapa nchini.”

-MkasiTv itaanza Jumatatu ya tarehe 10/11/2011 "SALAMA JABIR"

MkasiTv itaanza Jumatatu ya tarehe 14/11 Saa tatu na nusu usiku. Asante kwa LOVE. 
Tuonane Jumatatu hiyo.

MORE THT PICTURES IN NEW YORK CITY





                                   man Dito pamoja na Barnabas  elias





ito.

MIMBA YA WEMA YAWA KERO



WEMA Isaac Sepetu (pichani), mwenye kibendi cha miezi miwili kasoro alichopachikwa na ‘kidume’ Naseeb Abdul Jumaa ‘Diamond’, amegeuka kero kwa baadhi ya mastaa Bongo hasa wa kike kutokana na kutema mate ovyo, kujichetua na kuinadi mimba yake kupita maelezo.

Akizungumza na The Biggest IQ Paper, Ijumaa Wikienda ndani ya Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, Wema alisema kuwa kinachosababisha awe kero ni dalili za wazi za mjamzito alizonazo ikiwemo kutema mate ovyo, kubagua vyakula na kudeka kupitiliza.

Alifunguka: “Wanasema nawakera, lakini nahisi wananionea gere na mimba yangu. Mimi sina chuki na mtu yeyote na naomba wanivumilie.”

MWANAMUZIKI DOGO ASLAY ALIVYOTAMBULISHWA DAR

MWANAMUZIKI mwenye umri mdogo anayetokea pande za Temeke, jijini Dar es Salaam,  Aslay Isiaka, ambaye ameibuliwa na kundi la Mkubwa na Wanawe linalomilikiwa na Said Fella, jana alitambulishwa rasmi  kwa wanamuziki wengine katika viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

Utambulisho huo ulihudhuriwa na wanamuziki wengi mahiri wakiwemo wa kundi la Tip Top Connection likiongozwa na ‘Rais wa Manzese’, Hamadi Ally ‘Madee’, Naseeb Abdul ‘Diamond’, Sumalee,,Tunda Man na kundi zima la TMK.

- SIKILIZA WIMBO MPYA WA MWANAMUZIKI DITTO KUTOKA THT -JINA LA WIMBO NI TUSHUKURU KWA YOTE -PRODUCED AND MASTERED BY MSWAKI AT HOMETOWN RECORDS


Mwana F.A he's comming with a new look!!!

-MWANA FA ATOA WIMBO KATIKA MAHADHI YA TAARABU -AMEMSHIRIKISHA LINAH KATIKA KIITIKIO-WIMBO UNAITWA YALAITI

 Brand New Song kutoka kwa MwanaFA akiwa amemshirikisha Linah, YALAITI ambao umefanyiwa sample kutoka kwa wasanii wakongwe ambao waliutumia toka kitambo, hapa namzungumzia Siti, Binti Saad, Malika pamoja na Bibi Kidude. Wimbo huu kwenye chorus ameimba Linah na kurudia kwa melody ile ile halafu mtu mzima akadondokea. Gitaa limepigwa na mmoja wa walimu wa muziki THT anaitwa Cadinal Gento na beat imefanywa na Marco Chali kutoka MJ Rec....Sikiliza wimbo huo katika Play list....
Bingwa wa zamani wa ngumi za uzito wa juu,Joe Frazier,amefariki dunia kwa ugonjwa wa kansa akiwa na umri wa miaka 67. USA Today wanayo habari kamili.

Read more: REST IN PEACE JOE FRAZIER -
Bila shaka ushawahi kusikia jina la John Mahundi(pichani). Huyu ni miongoni mwa producers wakongwe kabisa wa muziki hususani wa kizazi kipya. Hivi sasa John Mahundi anaishi nchini Marekani ambapo pamoja na kuendelea na kazi zake zikiwemo za muziki,pia yeye ni kiongozi wa AACUSA (Muungano wa wasanii wa Afrika wanaoishi nchini Marekani)
Hivi majuzi mtangazaji Sunday Shomari wa Voice of America-VOA alifanya naye  mahojiano kuhusiana na umoja huo .Haya hapa mahojiano kamili.Sikiliza.

  • Sphinn
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • email
  • Twitter
Miss Venezuela Ivian Sarcos was crowned Miss World 2011 at an extravagant ceremony here at the Earls Court Sunday evening.
The 21-year-old won the diamond-shaped throne defeating over 100 beauties from various parts of the world at the 61st Miss World contest.
Miss Philippines Gwendoline Ruais was the first runner-up and Miss Puerto Rico Amanda Perez became the second runner-up.
The gala event kicked off with a dynamic performance by British street dance troup Diversity and ended with Miss World 2010 Alexandria Mills crowning Sarcos.
The jury included former Miss World winners — Cindy Breakspeare (1976), Nigeria Agbani Darego (2001), Zhang Zilin (2007) and Kaiane Aldorino (2009).
Our representative, Miss Tanzania 2011-Salha Israel did her best but once again, the game is still tough. We just can’t ask ourselves same questions again,right? She tried…a consolation from our board.
kwa kweli sijui na sisi wa bongo tutafikia kweli ...........!!!!!!
  • Sphinn
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • email
  • Twitter
Earvin Magic Johnson, miongoni mwa wachezaji mpira wa kikapu(basketball) mahiri kabisa waliowahi kutokea hapa ulimwenguni, alitangaza miaka 20  iliyopita (November 7,1991)kwamba ana virusi vya ukimwi(HIV). Miaka 20 baadaye,anabakia kuwa alama ya matumaini kwa wale wote walioathirika.Aliendelea kucheza(ingawa alipotangaza ana ukimwi alitangaza pia kustaafu) na baadaye akaendelea na maisha na kuwa miongoni mwa wafanyabiashara wenye mafanikio.Mtizame hapo chini
Share and Enjoy:
  • Sphinn
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • email
  • Twitter

Read more: the hotest news.