amreezle

amreezle

Wednesday, May 30, 2012


Video ya ‘No Church in the Wild’ ya Kanye West na Jay-Z yatoka ikiwa na ujumbe mzito

Hatimaye video ya wimbo mpya wa Kanye West na Jay-Z, “No Church in the Wild” jana imetoka. Video hiyo inawaacha mashabiki na ujumbe mzito hata kama nguli hao wawili hawaonekani kwenye video. Kwa mujibu wa MTV uamuzi huo wa Kanye … Continue reading

Facebook kuanza kutengeneza simu kama iPhone!!


Theluthi ya watumiaji wa simu wako tayari kununua simu ya Facebook (smartphone) na asilimia 73 wanadhani wazo la mtandao huo kuwa na simu zake ni zuri.
Habari za simu hiyo zimeibuka wiki hii huku vyanzo vikidai kuwa Facebook imemwajiri engeener wa zamani wa Apple kutengeneza simu ‘rasmi’ ya Facebook.
Sio mara ya kwanza kwa simu za Facebook kuingia sokoni.
Mtandao huo wa kijamii uliwahi kuingia ubia na makampuni ya INQ na HTC kutengeneza simu za Facebook zikiwemo simu zilizowekewa button ya ‘Like’ ndani.
Simu hiyo inasemekana itakuwa tayari kuzinduliwa rasmi mwaka ujao.
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na MyVoucherCodes kwa kuhoji watu 968, asilimia 32% wamesema watainunua ikiwa tayari.
Asilimia 57 wamesema wanaamini simu hizo zitakuwa na bei nafuu kuliko iPhone.
Baada ya iphone kupata ushindani mkubwa kutoka kwa Samsung Galaxy, Facebook kuwa mpinzani mwingine mwenye nguvu? Yetu masikio.

Will Smith: Nina bahati Jada kuwa mke wangu


Will Smith amemsifia mke wake Jada Pinkett kwa kuifanya familia yake kuwa pamoja.
Muigizaji huyo wa Men In Black III na mke wake muigizaji wa series ya Hawthorne wana miaka 17 tangu waoane licha ya hivi karibuni kuwepo na fununu kuwa ndoa yao ipo matatani kuvunjika. Continue reading
Posted in Will Smit


AY hulipwa kila wimbo wake unaposikika Big Brother


Kuna faida nyingi mno za msanii anapotambulika kimataifa ambapo moja kubwa ni show nyingi za nguvu zinazomwijia kila kukicha.
AY aliligundua hilo mapema ndo maana hakuwa bahili kusafiri nje ya nchi kufanya collabo na wasanii wa kimataifa na kuingia gharama kubwa kufanya video.
Juzi tu ametoka Johannesburg kufanya video iliyochomoa zaidi ya milioni 31 kutoka kwenye akaunti yake.
Hivyo usishangae kuambiwa kuwa kila usikiapo wimbo wake umechezwa Big Brother Africa, kuna hela inaingia kwenye akaunti yake bila matatizo.
Jana wimbo wake Leo aliofanya na Prezzo ambaye ni mshikaji wake wa karibu, ulikuwa ukipigwa, na rais huyo wa Cash Money Brothers wa Kenya alikuwa akiiufurahia.
Lakini kuna mtu ambaye alitaka kujua zaidi kama AY anapata chochote kwakuwa hiyo si mara ya kwanza wimbo wake kuchezwa, “hivi kuna hela unalipwa kwa nyimbo zako kupigwa @BigBroAfrica?” ambapo AY alijibu “Yes baus.”
Kwa Bongo hiki ni kitu kigeni kwakuwa bado kuna mjadala mkubwa kati ya wamiliki wa radio na TV kuhusu kuwalipa wasanii kila wanapocheza nyimbo zao (radio/TV royalties) lakini kwa wenzetu hii ni njia mojawapo inayowaingiza pesa wanamuziki.

Filamu ya The Avengers’ yafikisha mauzo ya dola bilioni 1.3 duniani kote


Inaonekana The Avengers itavuka matarajio kwa mara nyingine tena.
Filamu hiyo sasa inatishia nafasi ya tatu inayoshikiliwa na filamu ya mwisho ya Harry Potter katika orodha ya filamu zilizoingiza fedha nyingi zaidi.
Harry Potter and the Deathly Hallows, Part 2 imeingiza dola bilioni 1.328 duniani kote na kuwa nyuma ya filamu za James Cameron ambazo ni Titanic inayoshikilia nafasi ya pili na Avatar inayoshikilia nafasi ya kwanza.
Kwa mujibu wa jarida la Forbes, The Avengers sasa imeshaingiza dola bilioni 1.305 duniani kote kwa kuoneshwa kwenye majumba ya sinema.
Inaonesha pia kuwa The Avengers iliyozinduliwa April 11 mwaka huu duniani kote, itaipita The Dark Knight inayoshikilia nafasi ya tatu kwa kuingiza fedha zaidi nyumbani (Marekani).
Kwa sasa The Avengers iliyotayarishwa kwa bajeti ya dola milioni 200, imeshaingiza dola milioni 513.6 kutoka kwenye soko la nyumbani, ambazo ni pungufu ya dola milioni 19.7 tu zilizoingizwa na The Dark Knight nyumbani.
Haijulikani mapato ya The Avengers yatafika kiasi g
 

AY na producer wa ‘Speak With Your Body kusababisha tena?


Kuna dalili kuwa mambo makubwa yako mbioni kutokea tena kati ya producer wa ‘Speak with your body’ wa AY na Lamyia Good.
Riley Urick aliyeproduce ngoma za Sean Kingston,Romeo,Master P,Meek Mill,Tyga, Amerie na pia Engineer kwa Kanye,Akon,Beyonce na Lady Gaga ndiye aliyekuwa nyuma ya mdundo huo ambao pia Romeo alishirikishwa. Continue reading
Posted in AY,AMRAN

Tuesday, May 29, 2012

NIFANYEJE -VOA DARESSALAAM

Kikosi cha Je Nifanyeje Rahab Fungo, Mensiah John na Diana Damian.

MAAMUZI YA KESI YA LULU KUJULIKANA JUNI 16

Posted  on May 28, 2012 
Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael a.k.a Lulu akiwa Mahakamani mapena leo wakati alipofika kusikiliza mashtaka yake yanayomkabili kuhusiana na tuhuma za mauaji ya msanii mwenzake,Marehemu Steven Kanumba Lulu akiwa mahakamani hapo.Lulu akiwasili Mahakamani hapo.
Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam imepanga kutatoa uamuzi juu ya umri wa msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael maarufu kwa jina la Lulu anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya msanii mwenzake Steven Kanumba Aprili 7 mwaka huu.
Jaji Fauz Twaib leo alisikiliza mapingamizi ya mawakili wa serikali kuhusiana na maombi ya mawakili wanaomtetea Lulu waliyowasilisha mahakamani hapo kuiomba korti hiyo aidha ichunguze umri wa Lulu anayedai ana miaka 17 au iamuru mahakama ya kisutu kuchunguza.
Baada ya kuwasilishwa maombi hayo leo ilikuwa ni siku ya kusikilizwa maombi mahakamani ambapo wakili Shadrack Kimaro wa Serikali alipinga vikali maombi hayo kuwepo mahakamani hapo akidai kuwa hayakustahili kuwepo na badala yake yatupwe.Kusoma zaidi bofya Read more »

Saturday, May 26, 2012

Leticia Nyerere kushitaki waliomkashifu:


Mbunge wa Viti Maalum, Leticia Nyerere (CHADEMA), ametishia kuwashitaki watu waliotoa taarifa katika vyombo vya habari, zikidai kuwa alikuwa amekamatwa na polisi kuhusiana na makosa aliyotenda nchini Marekani.
Katika taarifa yake jana kwa vyombo vya habari, Leticia alieleza kusikitishwa kwake na taarifa hizo, akidai kuwa zimemdhalilisha na kumkashifu mbele ya jamii inayomheshimu na kumthamini, na hivyo atachukua hatua za kusafisha jina lake.
Alisema tuhuma hizo zilizosambazwa katika moja ya mitandao hapa nchini na kunukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari, Mei 14, mwaka huu, zilikuwa za kutungwa, na zilizolenga kumchafua mbele ya Watanzania waishio Marekani na hapa nchini.Kusoma zaidi bofya Read more »

ZITO IN THE NETHERLANDS : AGENDA OIL AND GA


A delegation of members of the Parliament from Tanzania arrived in The Netherlands on Monday, for a 4-days study tour.
The tour which begins Monday 21st May 2012 until the 24th will see the Honorable MP’s Zitto Kabwe, Hon. Nasir, Hon. Sarah Msafiri and David Kafulila and Ms. Pallangyo meeting representatives of the Netherlands Ministries of Foreign Affairs and that of Economic Affairs, Agriculture & Innovation (EL&I).
The meeting will provide opportunities to discuss issues such as government policies on careful and transparent exploration/exploitation of natural resources and on management of the ensuing income, and Dutch experience in the field (Dutch disease and its prevention and cure).
They delegates will tour the port of Rotterdam to be followed by presentation of BAM international on LNG.
The MPs will also have a meeting with the Vice Prime Minister and Minister of Economic Affairs, Agriculture And Innovation, Mr. Verhagen.

How to Be a Good Listener:

Edited by bhokassa@gmail.com
Be a Good Listener


Listen or thy tongue will keep thee deaf... - Native American Proverb

Listening is an essential part of communication, and it is different from hearing. Being a good and patient listener helps you not only solve many problems at work or home, but also to see the world through the eyes of others, thereby opening your understanding and enhancing your capacity for empathy. In addition, you learn a lot from listening. As simple as listening to and acknowledging other people may seem, doing it well, particularly when disagreements arise, takes sincere effort and lots of practice.

Edit Steps

  1. 1
    Place yourself in the other person's shoes.
    Place yourself in the other person's shoes.
    Place yourself in the other person's shoes. It is often too easy to wonder about how what the other person is telling you is impacting you. Active listening is not about inward thinking. Instead, you must look at the problems from the other person's perspective and actively try to see his or her point of view. It is not a good idea to consider yourself to be smarter than the speaker and assume that if you would have been in his or her shoes, you would have seen your way through the problem much faster. Remember you have two ears and one mouth for a reason.

    Brain Training Games

    Improve memory and attention with scientific brain games.
    www.lumosity.com
  2. 2
    Create a conducive physical and mental space. Remove all distractions. Give all of your attention. Turn off cell phones. It may be easiest to arrange to talk somewhere that distractions will not occur. Quiet your mind and open yourself to whatever the person might have to say.
  3. 3
    Stop talking and try to be silent. It might sound obvious and trite, but one of the biggest obstacles to listening, for many people, is resisting the impulse thoughts. Likewise, many think that empathy means sharing with the listener similar experiences that the listener has had. Both can be helpful, but they are easily abused. Put aside your own needs, and wait for the other person to talk at their own pace.
  4. 4
    Follow and encourage the speaker with body language. Nodding your head will indicate you hear what the speaker is saying, and will encourage them to continue. Adopting body postures, positions and movements that are similar to the speaker (called mirroring) will allow the speaker to relax and open up more.
  5. 5
    Practice the empathetic sounding back technique. At appropriate intervals during the conversation, it is helpful to "summarize and restate" and/or "repeat and encourage" the main points:

    • Repeat and encourage: Repeat some of the things said by the speaker. At the same time, encourage the speaker with positive feedback. For example, you might say: "You didn't enjoy having to take the blame. I can see why." Go easy with this technique, however, because if you overwork it, it may come across as being patronizing.
    • Summarize and restate: It is also very useful to summarize what the speaker is saying and restate it in your own words. This is a form of reassuring the speaker that you have truly been listening to what he or she is saying. It also provides the speaker with an opportunity to correct any mistaken assumptions or misconceptions that may have arisen during the course of the conversation. This is an especially good technique to try when you find yourself getting frustrated or restless in your listening.
  6. 6
    Do not interrupt with what you feel or think about the topic being discussed. Wait for another person to ask your opinion before interrupting the flow of discussion. Active listening requires the listener to shelve his or her own opinions temporarily, and await appropriate breaks in the conversation for summarizing. Abstain from giving direct advice. Instead, let him or her talk the situation out and find his or her own way. Besides, if he or she takes your advice and something goes wrong, he or she will be likely to blame you (whether he or she tells you or not).
  7. 7
    Ask meaningful and empowering questions. Do not seek to probe or make the other person defensive. Rather, aim to use questions as a means by which the speaker can begin to reach his or her own conclusions about the concerns or issues being raised. Once you have shown empathetic listening, it is time to move into empowering listening by re-framing the questions that you ask the speaker. For example: "You didn't enjoy having to take the blame. But I cannot understand why you feel blamed rather than merely being asked not to do something that way." Wording the question in this manner presents the speaker with a need to respond directly to your lack of grasping something. In the process of doing so, the speaker should begin to move from a more emotional response to a more constructive response.
  8. 8
    Wait for the person to open up. In the process of encouraging a constructive response, an active listener must continue to be patient and let the speaker acquire his or her full flow of thoughts, feelings, and ideas. Keep yourself in his or her shoes and try to estimate why he or she is in such a situation.
  9. 9
    Use Body Language to express your interest. Active listening involves the entire body and face--both yours and that of the speaker:

    • Your expression: Look interested and meet the gaze of your speaker from time to time. Do not overwhelm the speaker by staring intently, but do reflect friendliness and openness to what you are listening to.
    • Read between the lines: Always be alert for things that have been left unsaid or for cues that can help you gauge the speaker's true feelings. Watch the facial and body expressions of the speaker to try to gather all information you can, not just from the words. Imagine what kind of state of mind would have made you acquire such expressions, body language, and volume.
    • Speak at approximately the same energy level as the other person. This way, he or she will know that the message is getting through and that there is no need to repeat.
  10. 10
    Try to reassure the speaker that all is well. Whatever the conclusion of the conversation, let the speaker know that you have been happy to listen and to be a sounding board. Make it clear that you are open to further discussion if need be, but that you will not pressure him or her at all. In addition, reassure the speaker of your intention to keep the discussion confidential. Offer to assist with any solutions if you have the ability, time, and expertise. Do not build up false hopes, however. If the only resource you can provide is to continue to be an active listener, make that very clear; in and of itself, this is a very valuable help to any person.
  11. 11
    Be attentive:
    • Use your face,voice and body to show that you are interested in what that person is talking about
    • Listen with an accepting attitude
    • Ask questions which show that you like to listen
    • Use ideas and emotions to try to communicate to the person
    • Test your understanding
Bob Marley Biography - An Introduction
Early Life

Robert Nesta Marley was born on the 6th of February 1945 in the Saint Ann Parish of Jamaica. His father Norval Sinclair Marley was a white man in his 50s and his mother Cedella Booker was a black woman who was 18 years old. Due to this, he suffered a lot of racial prejudice in his childhood. Although his father provided the family with financial support, he was away most of the time on his work related trips. Bob Marley was ten years old when his father died.

His family moved to the Trenchtown slum in Kingston after his father died. Since he was of a short stature and due to his mixed origins, Bob Marley had to endure a lot of bullying. So he learned self defense and eventually gained a lot of physical strength. This earned him the nickname of 'Tuff Gong'.

This is also the time he met Neville Livingston (later known as Bunny Wailer) and they began playing music together. At 14 he apprenticed at a local welder's shop and began to make music in his free time with Livingston and Joe Higgs, who was a local musician and a devout Rastafarian. It was at one such jam session, that Bob Marley also met Peter McIntosh (later known as Peter Tosh).

Bob Marley History

In 1962, Bob recorded his first two singles called 'Judge Not' and 'One Cup of Coffee' with Leslie Kong under the pseudonym Bobby Martell. Later on he and Leslie split up due to money issues.

In 1963 Bob Marley, Bunny Livingstone and Peter Tosh and others joined together to form a band. They initially called themselves 'The Teenagers' but later on changed the names several times, finally settling themselves on the name 'The Wailers'. Bob Marley began to sing along with composing the music and lyrics for the band. They recorded two songs called 'I'm Still Waiting' and 'It Hurts to be Alone' with record producer Clement Dodd. Dodd also gave Bob a place to stay in the back room of the recording studio and in return Bob would do assignments for Dodd.

In one such assignment, where Bob was coaching a group of vocal singers called 'The Soulettes', Bob met Rita Anderson. He later married her in 1966.

While with Dodd, The Wailers recorded several songs. However, one of them called 'One Love' became extremely popular. Comprising elements from the Rastafarian faith, the song called for unity, peace and love. This song was completely different from the radical and sometimes anti-authority songs that The Wailers used to sing.

Bob Marley also recorded the song 'Simmer Down' in 1964 with Dodd which became extremely popular and made The Wailers one of the top bands in Jamaica. They then followed it up with 'Soul Rebel' and '400 Years'.

In 1966 after marrying Rita Anderson, he moved with his mother in Wilmington, Delaware. However, less money and record producers wanting him to compromise on his Rastafarian messages in his songs meant a lot of conflict in his life. Therefore, he came back to Jamaica and began working in a factory to earn his living. Marley also began wearing his trademark dreadlocks in keeping with his Rastafarian faith.

Between 1968 and 1972, The Wailers along with Rita Marley tried to re-cut a few of their old songs with JAD Records in London. However, this did not prove to be a very good idea.

Then, in 1973 The Wailers released their first album worldwide. It was called 'Catch a Fire' which did quite well. Then a year later, they released another album titled 'Burnin'. This album included their hit songs like 'Get Up, Stand Up' and 'I Shot the Sheriff'. This introduced Marley on the international stage.

In 1974, The Wailers broke up with each of the three band members wanting to pursue solo careers. But Bob Marley continued calling his band 'Bob Marley and The Wailers' and teamed up with new members to form another band. These included Carlton and Aston 'Family Man' Barrett (drums and bass), Junior Marvin and Al Anderson (lead guitar), Tyrone Downie and Earl 'Wya' Lindo (keyboards), Alvin 'Seeco' Patterson (percussion), and the 'I Threes' (backing vocals) which included his wife Rita.

In 1975 Bob Marley had his first international hit 'No Woman, No Cry'. After this he released his album 'Rastaman Vibration' in 1976 which became a Billboard chart topper for four weeks.

In December 1976, Bob Marley, his wife and his manager Don Taylor were wounded in an assassination attempt made before the 'Smile Jamaica' concert. Marley's wife and manager were seriously wounded, and Bob Marley had just some minor wounds. They all recovered, and Bob went on to play at the concert.

Bob Marley then went to London and recorded his next two albums 'Exodus' and 'Kaya' which included the hit songs 'Exodus', 'Waiting in Vain', 'Jamming' and 'One Love'. 'Exodus' stayed on the British music charts for 56 consecutive weeks. He was also arrested for possession of a small amount of cannabis.

Death

In 1977, Bob Marley was diagnosed with cancer. He had sustained an injury on right toe which had never healed. But Bob Marley refused to go ahead with any amputation surgery as it was against the Rastafarian faith. His strong faith in his religion meant that he had to keep his body 'whole' and also that he should not register a will as it would symbolize the acceptance of death as inevitable, thus giving a total disregard for the concept of everlasting life. Rastafarian faith also believed that smoking marijuana was an uplifting experience which would connect the human body to the divine.

Eventually the cancer spread to his lungs, liver, stomach and brain. However, he continued to play on in concerts and recording albums such as 'Survival' in 1979 and 'Uprising' in 1980.

Bob Marley died on the 11th of May, 1981 at Cedars of Lebanon Hospital in Miami, Florida. He was 36. His final words to his son Ziggy were 'Money can't buy life'. As per his wishes, he was buried with his guitar, a soccer ball, a marijuana bud, a ring given to him by the Prince Asfa Wossen of Ethiopia and a Bible.

Monday, May 7, 2012

Washindi wa tuzo za Kili Awards wapagawisha Mwanza

Posted in Uncategorized on May 7, 2012 
Mkali wa Bongo fleva Nasib Abdul maarufu kama Diamond akiimba jukwaani hii leo wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award iliyofanyika uwanja wa Kirumba jijini Mwanza Jumapili.
Wasanii wa Musiki wa Kizazi Kipya Diamond, Roma, Isha Mashauzi, AT, Barnaba, Omy Dimpoz, Ben Paul wamefunika vibaya katika Tamasha la Kili Music Award Winners Tour lililofanyika katika Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza, na kutoa burudani ya uhakika kwa wapenzi wa burudani ya Muziki wa jiji hilo na vitongoji vyake.
Show hiyo kali iliyoanza majira ya saa 8 mchana ikitanguliwa na makundi kadhaa ya wasanii chipukizi wa Bongo Fleva wa Jijini Mwanza ilizidi kupamba moto muda hadi muda hadi pale wasanii Nguli na washindi wa Tuzo za Kili Music Award 2012 walipowasili uwanjani hapo.Kusoma zaidi bofya Read more »

Tuesday, May 1, 2012

Waandishi wa habari Iringa kutumia siku ya uhuru wa vyombo vya habari kwa kumweka kiti moto mbunge Msigwa

Posted  on May 2, 2012 

Na Francis Godwin, Iringa.
Wakati kesho mei 3 ni siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani ,wanahabari mkoa wa Iringa wamepanga kufanya maandamano makubwa kwa ajili ya kuadhimisha siku hiyo pamoja na kumweka kiti moto mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa baada ya wananchi wengi kumlalamikia mbunge huyo .
Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) Daud Mwangosi aliyasema hayo leo wakati akizunguza na waandishi wa habari juu ya maandalizi ya siku hiyo ya Uhuru wa Vyombo duniani .
Alisema kuwa mdahalo huu katika ya wapiga kura wa jimbo la Iringa mjini na mbunge huyo wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa utafanyika katika ukumbi wa Highlands ukumbi uliopo katikati ya mji Iringa kutoa nafasi kwa wananchi wote kufika.Kusoma zaidi bofya Read more »

Stock Market Newsletter: “SELL IN MAY…AND GO AWAY”

Posted on May 1, 2012  David Magness-
This OLD STOCK MARKET CLICHE’ has been around since the 1950′s…The STOCK TRADER’S ALMANAC says that for the last 50+ years…this AXIOM has been TRUE about 75% of the TIME…
…Last year [2011]…the DOW PEAKED at 12,876.00 on MAY 2ND…the STOCK MARKET then FELL 2471.51 POINTS to the LOW for the YEAR of 10,404.49…on OCTOBER 4TH…["Sell In May...& Go Away"]
…but this is an ELECTION YEAR…and ELECTION YEARS are VERY UNPREDICTABLE…but we will TRY ANYWAY…
…ALMOST without EXCEPTION…the markets DROP the FIRST WEEK in MAY…so we EXPECT A MAJOR DROP this COMING WEEK…but after that…we believe the BULL MARKET STILL has some distance to GO…before TURNING DOWN…Our PROJECTIONS indicate a MARKET TOP between MAY 15TH and MID JUNE…The LAST DAYS of a BULL MARKET cycle…are USUALLY RAPID and CHAOTIC…
…SUMMARY…We EXPECT A STOCK MARKET DROP THIS COMING WEEK…BUT then…A Trading OPPORTUNITY…TRADERS should therefore…SELL MONDAY and WAIT for this BUYING OPPORTUNITY…to appear…PROBABLY sometime LATER NEXT WEEK…or as EARLY as the END OF THIS WEEK…
…TSP PARTICIPANTS…Sho