amreezle

amreezle

Friday, March 23, 2012

Tuned In: Rihanna Claims Being Naked Helped Her to Love Her Body


(Getty)

Rihanna might look happy here, but she really just wants to take off her top. (Bauer Griffin) For one of the trendiest women in the world, Rihanna spends a surprising amount of time without any clothes on. Apparently it's therapeutic. Also in music news, Ricky Martin has an adorable pair of dopplegangers posing with him in Spanish Vanity Fair, Paul McCartney is dead to Twitter, and Jack White is never, ever, ever going to reunite with Meg for a White Stripes reunion (so he says).

  •  In a new interview with Women's Fitness, Rihanna admits that she too suffers from occasional bouts of low self-esteem. Her method of coping explains the glut of near-nude photos she posts all over her social networking sites: "My way [of dealing with low self-esteem] probably won't work for most people... but the more I got naked the more comfortable I felt."

Rihanna added, "It was just knowing my body is the way it is no matter what that helped me, knowing that it is what is under clothes or outside of clothes."

If you look like Rihanna, chances are your topless photos are going to be well-received. Essentially, every time she strips down, she gets a high-five from the world (minus moms grumbling about her being a terrible role model). No, that won't work for everyone...

Everyone in this photo is really, really cute. (via Vanity Fair)   •  Ricky Martin is on the cover of the new Spanish Vanity Fair, joined by two very handsome young men: Sons Matteo and Valentino. The boys—who look very much like their dad in his Menudo days—are being raised by Martin and his partner of four years, Carlos González Abella. Judging by the pictures, they have an extremely perfect life in an all-white house where they all wear gray sweaters and khaki pants.

Martin addressed his much-discussed sexuality in the interview, explaining, "I've been with women and I fell in love with them and I felt wonderful things. There was a lot of love [and] passion."

Millen set to expose Tanzanian fashion talents:mmmh!

Thursday, March 22, 2012

UTENGENEZWAJI WA PICHA ZA LUNINGANI (ALI KIBA Feat: JIDE) Single Boy.Kiba ft. jay dee.

First song with forst Video....its never happen.....itakuaje kwa video? 

Hawa ni wadhamini wa mchuma uliotumika (BMW)


Mtuone tu hivi hivi tumesimama kama washamba, ikiisha mtajionea tulivyo chomoka


 Hiki kitu kilikua balaa kiama!!!BIG UP Sana mtu mzima Kiba.
Visual Lab (Adam Juma) ndio alifanya kazi ya uchukuaji wa picha hizo za kideoni.haya kaka wa next level,tunajua hakunaga zaidi yako....itachukua myiaka kutokea.



Mengine mtayaona Video ikikamilika
Nashukuru tulimaliza salama, japo nilikuwa na usingizi balaaa
Hayo ni baadhi ya maneno aliyosema Mrs. Gadna G.Habash

Thursday, March 22, 2012

DREAM BIG, SOME DREAMS DO COME TRUE

Wednesday, March 21, 2012

R.KELLY KUACHIA CHAPTERS ZAIDI ZA “TRAPPED IN THE CLOSET”

R.Kelly afufuka na kurudi na zile ngoma
zilizokua kama movies lakini kwa aina ya muziki kama
umeshaona Trapped In The Closet videos utakua umeelewa
 vizuri what im talking about, R.Kelly amesema anamipango
ya kuachia chapters zaidi za “Trapped In The Closet”

Ingawa haipo wazi kabisa lini chapters hizo mpya zitatoka
 na ya mwanzo kabisa kwa ajili ya promotions lakini watatangaza
kupitia IFC mwaka huu, IFC waliandika “ crew yote inarudi kwenye
mzigo mpya unaokuja kwenye “Trapped In The Closet” ya R.Kelly
na mambo mengine ya ndani zaidi. Dozen ya kwanza ya Trapped In
The Closet ilitoka mwaka 2005 ikafuatiwa na nyingine 10 mwaka 2007
 akasema ameandika chapters nyingine 32.

TIPPIN NDANI YA DA WEEKEND CHART SHOW IJUMAA HII.

Rapper Tippin, mmiliki wa Body Art Tatoo na mkali
wa kwenye ngoma ya A town Champs, ijumaa hii
atakuepo kwenye kipindi cha DA WEEKEND CHART SHOW
cha CLOUDS TV kuanzia saa 4:15 usiku. Usiache kucheck upate
stories kibao kuhusiana na mshikaji music career na maisha nje ya muziki.

VIDEO YA MKALI WA R&B NA POP MUBA KH SINA MALI YATOKA.

Video ya mkali anaechipukia katika bongo flava industry
"MUBA KH" imetoka leo tarehe 21 March 2012,
Video hiyo imefanywa na kampuni ya Extreme,
Video hiyo imeanza kupigwa leo katika vituo mbali
mbali vya televisheni , Audio ya wimbo wa “SINA MALI”
ilifanywa ndani ya Studio za G Records akiwa Muba Kh
amemshirikisha Ally Kiba na Sajna. Kesho tembelea blog hii
ya djfetty.blogspot.com utaiona video hiyo ya mkali anaechipukia
"MUBA KH"…Usikoseeeeee!

STOPA THE RHYMECCA APOTEZA HARD DISC YENYE MIXTAPE YAKE ILIYOKUA ITOKE KARIBUNI.

Mwana Hip Hop kutoka Hip Hop City Arusha,
Stopa The Rhymecca a.k.a Yokoi amepoteza Vitu
vyake vya muhimu ikiwemo hard drive yenye album
 yake ambayo ilikua inategemewa kutoka siku za
 karibuni ikiwemo na single inayofuata baada ya wimbo
wa Boom bye bye.

Akiongea na D- ANDY wa 255 ya XXL @ Clouds FM
Stopa anasema “ Nimepoteza hard disc yenye project
yangu yote ijayo ilikua na ngoma za Geescent pia kutoka
Nigeria kwa bahati nzuri nilishaanza kuisambaza kwenye
radio mbali mbali lakini ngoma zangu zote zimepotea itabidi
nirudi studio tena kuanza upya kurekodi ngoma nyingine”
Akatoa Contact kwa mtu ambae ataviona vitu hivyo ampigie simu
0713 423 292 akasema kwenye vitambulisho na card za
bank zimeandikwa jina lake halisi Jerome Frank Mgaya atakaeviona
amemuahidi donge nono.

MTANGAZAJI MWENYE MIAKA 78 AJITUPIA TATTOO KWENYE KALIO

mwanzoni ilionekana kuhusishwa sana na wahalifu na mabaharia, kabla haijawa maarufu.
na sasa hata Joan River (american television personality, mchekeshaji na muigizaji) na miaka yake 78 amejitupia tattoo kwenye KIPARA chake a.k.a KIJUNGU
Joan akipanda kwenye kitanda tayari  kwa kutiwa wino mwilini


baada ya kuskia yale makelele ya mashine mwana mama alibadilisha mawazo na kuondoka akiwa amechorwa nyuki asiekuwa na rangi yoyote

SASA NDIO NAJUA KUWA NA MTOTO UKIWA NA MIAKA 57 NI TATIZO

Britain's oldest new mother ameongelea maju8to yake kwa kuzaa mtoto wake wa kwanza akiwa na miaka 57, akikubali kwa mara ya kwanza kuwa alikosea kutokuzaa mtoto wa kwanza mapema
akiongea miaka minne baada ya kujifungua mtoto wake Sue Tollefsen amesefunguka kuwa hivi karibuni alishindwa kumuangalia mtoto wake Freya baada ya kukutwa na ugonjwa unaohatarisha maisha yake (blood infection) uliomuacha hoi wakati wa christmas
 Miss Tollefsen, akiwa na aliekuwa partner wake  Nick Mayer na Freya ambae saa hii ameachana nae.
Miss Tollefsen ambae ni mwalimu aliestaaf akiwa na miaka 61 kwa sasa amesema kutoka na ugonjwa huo ameona kuwa hataweza kumuona mtoto wake akikua.

"niliumwa sana na kila saa nilikua nikimfikiria mtoto wangu na ndipo nilipojua kuwa sitaweza kumuona mtoto wangu akikua" amesema Miss Tollefsen, akaongeza kuwa ukweli kabisa nilichokipitia kimenifunza kuwa miaka 50 inabidi iwe ndio mwisho wa kuzaa

hapa akiwa na mtoto wake FREYA akiwa na miaka mitatu mwezi november

RAPPER 50 CENT AMEDHIBITISHA SIKU YA KUACHIA ALBUM YAKE

Album ambayo bado haijapewa jina ya rapper 50 cent
 itatoka tarehe July 2 mwaka huu alisema jana March 20.
Alipata nafasi ya kuongelea album hiyo akiwa na Eminem
backsatge wakati wa onyesho la Shady Records 2.0 Austin
Texas kwenye mkutano wa SXSW music na waandishi wa habari.

“ Album yangu inatoka tarehe 2 July ina ngoma kali sana iko tayari”
Alisema 50, album hiyo ni production ya mtu mzima Swizz Beatz,
Just Blaze, Jake one, Jim Jonsin, na wengine.

Ni album ya 5 ya 50 cent na imeripotiwa itakua ni album ya mwisho
 na Interscope Records. 50 cent alisema “ Birthday yangu ni ni tarehe 6
July hiyo ni siku fresh sana kwangu” “ Itakua July 2 album, July 4 ni siku
ya uhuru alafu tarehe 6 ni Birthday yangu”.

Tuesday, March 20, 2012

HAKUNA MWISHO WA TALENT YAKE: WILLOW SMITH AONYESHA SKILLS ZAKE UPANDE WA GYMNASTIC.

Ameshaanza keelekea upande wa mziki kutoka kwenye mziki with a role kwenye movie inayofata inayoitwa adaptation of comic book series Amulet.
Willow (11) ameonyesha uwezo wake upande wa serekasi kwa kupost picha hiyo hapo juu kwenye page yake ya  twitter
 ikiwa na maandishi yanayosema #DANCE
 

Ana miaka 11 tu lakini anaonekana ana style zake tofauti katika upande wa mavazi na muonekano kiujumla

licha ya kuwa na tetesi kuwa wazazi wake wanampango wa kuacha na, siku chache baadae willow alionekana aki enjoy game ya NBA akiwa na wazazi wake Will na Jada Pinkett Smith na kaka yake   Jaden.

HAPPY BIRTHDAY MISS JOKET MWEGELO

happy birthday Miss Joket mwegelo. blog hii inakutakia maisha marefu na yenye amani tele

viatu alivyokuja akiwa amevaa Joket leo ndani ya office za Clouds Fm

 

LUGHA GONGANA...LOL

ddaaaahhhhhhhhh, lugha bana

NAS AONGELEA COLABO YAKE NA MINAJI

Hate me now na hero rapper Nas ameongelea colabo
yake na Femcee kutoka YMCMB Nick Minaj
kwenye album yake ya sophomore.
Ngoma za kwenye
 album ya sophomore Pink Friday : Roman reloaded
imeachiwa mwishoni mwa week iliyopita, watu walipatwa
 na mshangao kumuona Nas kuwepo kwenye ngoma ya
“Champion” pia amemshirikisha Young Jeezy na Drake.
Ngoma hiyo itatoka tarehe 3 mwezi nne 2012, Nas anafunguka na kusema “Nick
Minaj anafanya fresh, nampenda,nimefanya
 ngoma nae”, Alisema Nas. Akaongeza, muziki ni muziki, nafeel sana naweza kufanya bonge moja ya kitu,
niliisikia ngoma, nikaifeel, nimeipenda sana”
Watu wengine watakao kuwepo kwenye album hiyo ni pamoja
na 2 Chainz, Cam’ron, Chris Brown, Lil Wayne na Rick Ross.
Rasmi kwa sasa ngoma aliyoiachia ni Redone iliyotengenezwa na “starship”
na kufanya video yake.

Monday, March 19, 2012

EXCLUSIVE PIC ZA MWANADASHOST LINA AKIWA MAREKANI-20/03/2012






Lina yupo marekani kwa muda wa miezi mitatu katika tua inayoitwa "NATAMANI TOUR"  haya mama ila kumbe lina ni Tukunyema.