amreezle

amreezle

Tuesday, June 19, 2012

Taarifa za kutatanisha kuhusu hali ya Hosni Mubarak -CNN

Posted  on June 19, 2012 by amran


Kiongozi wa Misri Hosni Mubaraka atangazwa yu mahututi na pengine amefariki Dunia. Alikuwa kwenye mashine za kupumulia lakini inasemekana pia zimeondolewa.Hali halisi bado ya utata.

BIG BROTHER STAR GAME EVICTION

Posted  on June 19, 2012 by amran
The 91 day reality super-series Big Brother StarGame, produced for M-Net’s AfricaMagic, is being screened live 24/7 on DStv channel 197 & 198. Last night (Sunday 17 June) Lee & Jesica were evicted while Junia & Keagan upgraded to Upville. For more information log on to www.africamagic.tv/bigbrotherr Pictured here: Tanzania’s AY.

Lulu akwama kupanda kizimbani

Posted  on June 19, 2012 by amran

Msanii wa filamu, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu anayekabiliwa na kesi ya mauaji jana amefikishwa mahakamani na kurejeshwa tena mahabusu bila kupandishwa kizimbani.
Lulu anakabiliwa na kesi ya mauaji ya msanii mwenzake, Steven Kanumba, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akituhumiwa kumuua aliyekuwa muigizaji nyota wa filamu Tanzania, Steven Kanumba.
Anadaiwa kutenda kosa hilo April 7, 2012 nyumbani kwa marehemu Kanumba.
Jumatatu, mshtakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kesi yake kutajwa, lakini hakupandishwa kizimbani na badala yake alirudishwa tena mahabusu katika gereza la Ukonga.Kusoma zaidi bofya Read more »

Migiro awataka Watanzania kuchapa kazi kwa nidhamu

Posted  on June 19, 2012 by amran

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk Asha-Rose Migiro amewaasa Watanzania kufanya kazi kwa bidii na nidhamu kupata mfanikio katika sekta yoyote ile.
Amesema hakuna jambo njema katika utumishi wowote ule uwe wa kuajiriwa serikalini ama sekta binafsi au hata kujiajiri mwenyewe kama utafanya kazi kwa bidii na nidhamu.
Migiro alitoa kauli hiyo wakati akisalimiana na Watanzania waliopo New York, Washigton DC na vitongoji vingine wakati wa hafla ya kusherehekea mafanikio yake ya kushika wadhifa wa Unaibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Miaka mitano na nusu. Kusoma zaidi bofya Read more »

Mbunge amlipua mfanyabiashara kwa ujasusi

Posted  on June 19, 2012 by amran

Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid Mohamed jana aliilipua Kampuni ya Madini ya Minerals Extractions Technologies Ltd kutokana na mmiliki wake kufanya biashara za madini kwa njia za utapeli na ujasusi.
Minerals Extractions Technologies Ltd ni kampuni ambayo inafanya kazi ya kusafisha mchanga wa dhahabu katika baadhi ya migodi iliyopo Kanda ya ziwa na iliwahi kulalamikiwa kwa kukataa kushirikiana na mpango wa kufuatilia mapato yanayolipwa kwa Serikali na kampuni za madini, gesi na mafuta (TEIT) unaoongozwa na Jaji Msitaafu, Mark Bomani.
Kutokana na hali hiyo, Mohamed alitoa mapendekezo ya kuundwa kwa kamati ya wabunge sita kutoka Kamati tatu za Bunge ili kuchunguza kampuni hiyo na mmiliki wake ambaye (jina tunalihifadhi kwa sasa) ambaye alisema kuwa anatamba kwamba Tanzania hakuna mtu anayeweza kumgusa. Kusoma zaidi bofya Read more »

BAADA YA SAKATA LA KUTOLEWA BUNGENI MNYIKA AZUNGUMZA NA VOA.

Posted  on June 19, 2012 by amran

Baada ya mbunge John Mnyika alizungumza na VOA juu ya sakata la kutolewa nje ya bunge.kUSIKILIZA MAHOJIANO HAYO BOFYA HAPA.


John Mnyika atolewa nje ya bunge

Posted  on June 19, 2012 by amran
Mbunge wa jimbo la Ubungo John Mnyika akitoka katika ukumbi wa Bunge la Tanzania jana mjini Dodoma baada ya kukataa kufuta kauli ya kumdhalilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa dhaifu. Mbunge huyo alitoa kauli hiyo wakati akichangia Bajeti ya serikali ya mwaka 2012/13 katika mkutano unaoendelea. KWA HISANI YA FULLSHANGWE.

Polisi wa Uganda wazuia mkutano wa mashoga

Posted  on June 19, 2012 by amran

Polisi nchini Uganda Jumatatu jioni waliivunja warsha ya siku tatu ya wapenzi wa jinsia moja wakisema mkutano huo ulikiuka sheria kwa sababu wapenzi wa jinsia moja hawatambuliwi na sheria. Watu wanne akiwemo waandalizi wa mkutano huo walitiwa mbaroni.
Mkutano huu ulikuwa unahudhuriwa na washirika 20 kutoka nchi ya Rwanda, Tanzania, Kenya na Uganda. Kila nchi ikiwa imechangia washiriki watano.
Kwa mujibu wa VOA Njoroge Waithera kutoka Kenya ni miongoni mwa watu waliokuwa wanahudhuria mkutano huu. Mwandishi wa Sauti ya Amerika alimuuliza kama mkutano huu ulikuwa wa wapenzi wa jinsia moja.Kusoma zaidi bofya Read more »


Saturday, June 16, 2012

Sikiliza And Download Wimbo Wa Diva Loveness Love Feat Diamond -Piga Simu

Its finally out! Diva Loveness Love brand new single featuring Diamond Platnumz that goes by the name of PIGA SIMU. A lot has been said about this track produced by Lamar at FishCrab Studios even before it came out, sasa have your say and let us know what YOU think.!

Dj Fetty Apata Deals Baada Ya Kupiga Show Big Brother Africa



Kwa fans wote wa Big Brother Africa najua kama ulipata chance ya kuchek show weekend iliyopita najua sina haja ya kuuliza trending topic kwenye mitandao ya kijamii ilimuhusu nani.

Ofcourse my girl Fetty the best Dj Fetty wa XXL ya CLOUDS FM ndio alikua Dj aliepewa mwaliko wa kuonyesha ujuzi jumamosi na jumapili.

Kwa show hizo mbili tu alizopiga hakika Africa imemtambua ambapo tayari watu kadhaa wameweka wazi nia ya kutaka kufanya nae kazi.

Exclusive na millardayo.com Fetty amesema baada ya show alifatwa na Channel O, kituo cha Television cha South Africa  chenye heshima kwenye burudani ambapo kimetaka awe Dj kwenye show yao maarufu ya usiku ya Basement.

Fee’h amesema yuko nao kwenye mazungumzo ambapo atatoa matokeo soon, vilevile amepata mialiko ya nchi kadhaa za Africa kwa ajili ya kwenda kupiga kama Dj ambapo nchi ya kwanza kumtumia maombi asubuhi yake baada ya kupiga show ni Rwanda, bado hajawajibu mpaka sasa anavuta subira kidogo alafu afunguke…. kama kutakua na any news… utakua wa kwanza kuifahamu kupitia millardayo.com!


  
Check hicho kichupa hapo juu then toa comments zako ....kuhusu hiyo video


Hatimaye imetoka baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu. Check it out!

Sasa tumepata jibu la kwanini video hii imemgharimu milioni thelathini na ushee. Hii ni video ambayo kila kituo kikubwa cha runinga kitataka kiwe nayo. Jana Trace ya Ufaransa imekuwa ya kwanza kuicheza.
Kwenye video hii AY kaonesha uwezo mzuri zaidi katika kuimba pengine kuzidi nyimbo nyingi ama zote alizowahi kuimba.  Party zone ni zile nyimbo ambazo huingia kichwani kwa mtu haraka na kujikuta akiuimba kimya kimya bila kuwa na taarifa.


Ni ngoma ambazo zikipigwa Club huwezi kuvumilia kukaa zaidi ya kuinuka na kulishambulia stage. Kwenye wimbo huo Marco Chali ameonesha kwa urefu zaidi uwezo wake wa kuimba tofauti na jinsi tulivyomzoea kwenye nyimbo za awali ambazo mara nyingi aliimba chorus peke yake.

Ngoma hii imetoka katika kipindi ambacho nyimbo za aina hii ya dance zinafanya vizuri mno duniani. Ni wimbo wa biashara zaidi na tuna uhakika utampeleka mbali sana.

Marco Chali pia ajiandae kuanza kutafutwa na wasanii wengi duniani kwa kazi hii nzuri ya mikono yake. Video hii tunaipa mic tano. Watoto wazuri pia, Big up AY

Hivi ndivyo wengine walivyoiona video hii.

Twitter

@Mubaraka27: noumah bro #partyzone iz mo international keep on touch bro halaa..
@SossyForreal: I`M SURE THIS TIME YOU ARE GOING FAR Brow..That`s Just PITBULL`s LEVEL ! HONGERA SANA
@MxCarter noma sana God Father anaweza kufanya ufe na pressure mx
@Frank_255: #Nw Party is On by @AyTanzania .. Never seen b4 hapa TZ.
@niMFEDE: duuuuh huu mvideo na style house una machale saaaana..
@litanda_jossey:amaizing one...bro. Kumbe hadi bodaboda unajua kuendesha..lol
@ENOSMYRA: hzo mdio video watanzania wanatakiwa kufanya..,,I respect u 4 that! U killed it..mpaka naskia raha kama ndo mimi vile,hehehehe.
@hemdee31: The new video "Party Zone" is off the Chain! I'm send it over 2 @SeanKingston 2C if we can get on "Time IS Money" @RomeoMiller
@CurathaMaro: #Party zone! acha mungu akuongezee tu bana!beautful video;

Facebook

Pendi Mahundi: Aise hii song iko international level....mi si mtaalamu wa muziki sana,lakini nahisi kuna kitu kimoja tu kinamiss kidooogo, ile bass inamiss..... am left in suspense throughout the song, as if it's about to come ...but then nothing comes! Any way a club banger.

YouTube

rNmhaye:Yap,, This is more than Bongo Flava,,, Its a world class...
Jiskerz :THE WAY U TREAT ME ULİSHANİPA SO MORE YEAH...party zoone
Oh shit cant stop watching this video AY big up  bro u always make me proud

 June 16, 2012

What does it take to be happy in a relationship?



What does it take to be happy in a relationship? If you’re working to improve your marriage, here are a few habits of happy couples.

1. Go to bed at the same time

Remember the beginning of your relationship, when you couldn’t wait to go to bed with each other to make love? Happy couples resist the temptation to go to bed at different times. They go to bed at the same time, even if one partner wakes up later to do things while their partner sleeps.

2. Cultivate common interests

After the passion settles down, it’s common to realise that you have few interests in common. But don’t minimise the importance of activities you can do together that you both enjoy. If common interests are not present, happy couples develop them. At the same time, be sure to cultivate interests of your own; this will make you more interesting to your mate and prevent you from appearing too dependent.

3. Walk hand in hand or side by side

Rather than one partner lagging or dragging behind the other, happy couples walk comfortably hand in hand or side by side. They know it’s more important to be with their partner than to see the sights along the way.

4. Make trust and forgiveness your default mode

If and when they have a disagreement or argument, and if they can’t resolve it, happy couples default to trusting and forgiving rather than distrusting and begrudging.

5. Focus more on what your partner does right than what he or she does wrong

If you look for things your partner does wrong, you can always find something. If you look for what he or she does right, you can always find something, too. It all depends on what you want to look for. Happy couples accentuate the positive.

6. Hug each other as soon as you see each other after work

Our skin has a memory of “good touch” (loved), “bad touch” (abused) and “no touch” (neglected). Couples who say hello with a hug keep their skin bathed in the “good touch,” which can inoculate your spirit against anonymity in the world.

7. Say “I love you” and “Have a good day” every morning

This is a great way to buy some patience and tolerance as each partner sets out each day to battle traffic jams, long lines and other annoyances.

8. Say “Good night” every night, regardless of how you feel

This tells your partner that, regardless of how upset you are with him or her, you still want to be in the relationship. It says that what you and your partner have is bigger than any single upsetting incident.

9. Do a “weather” check during the day

Call your partner at home or at work to see how his or her day is going. This is a great way to adjust expectations so that you’re more in sync when you connect after work. For instance, if your partner is having an awful day, it might be unreasonable to expect him or her to be enthusiastic about something good that happened to you.

10. Be proud to be seen with your partner

Happy couples are pleased to be seen together and are often in some kind of affectionate contact - hand on hand or hand on shoulder or knee or back of neck. They are not showing off but rather just saying that they belong with each other.

Happy couples have different habits than unhappy couples. A habit is a discrete behaviour that you do automatically and that takes little effort to maintain. It takes 21 days of daily repetition of a new a behaviour to become a habit. So select one of the behaviours in the list above to do for 21 days and voila, it will become a habit...and make you happier as a couple. And if you fall off the wagon, don’t despair, just apologize to your partner, ask their forgiveness and recommit yourself to getting back in the habit.

If there was one key to happiness in love and life, and possibly even success, it would be to go into each conversation you have with this commandment to yourself front and foremost in your mind, "Just Listen."

Friday, June 15, 2012

Friday, June 16, 2012
Closing out the work week by keeping up on her physical fitness, Lea Michele was spotted leaving the gym after a morning workout in Los Angeles, CA on Saturday (June 16).
The Rachel Berry babe looked cute and colorful as she then grabbed up a to-go lunch from vegan restaurant Real Food Daily following the day-beginning sweat session.

Drake & Chris Brown Issue Statements on Club Fracas

Posted friday June 15, 2012 by amran
Claiming his innocence, Drake's rep has released a statement saying that the hitmaker is not responsible for the bloody gash on Chris Brown's chin following a brawl at a New York City nightclub on Wednesday (June 13).
Although the "Motto" singer claims he was on his way out of the bar when the fight started, sources tell , "The fight started after Chris Brown and a rapper at Drake's table started trash talking each other."

Apparently, Drake's rapper friend, Meek Mill, started yelling at Brown causing the 23-year-old and one of his lieutenants to dish the screaming right back.
Sources for TMZ did not want to reveal what the two were arguing about, but confirmed it had nothing to do with Rihanna and that Meek Mill hit Chris with a bottle, tearing off a chunk of his skin.
As for Drake's rep's statement, it read: "Drake did not participate in any wrongdoing of any kind last night at W.i.P. He was on his way out of the club when the altercation began. [Drake] did not engage in any activity which resulted in injury to person or damage to property."
A short while later, Brown chimed in via his spokesperson, telling: ”Chris, Karrueche [Tran] and his friends were victims of a brutal attack last night at WIP. They sustained several injuries. Chris and his party are cooperating with NY authorities who are pursuing this incident further.”

Angry Birds Theme Park Coming To China!!!

angrybirdsthemeparkchinasoon.jpg
An Angry Birds theme park is coming to an amusement park near you - if you live in China, that is!
The company behind the 2nd most popular iPhone app of all time has opened its offices in Shanghai and has drawn up plans for activity parks and stores across its biggest market - China.
Here's what the game's founder said: Read the rest of this entry »

Disney Earns Some John Carter Money Back!

john-carter-makes-disney-some-money.jpg
Walt Disney Studios' John Carter, which flopped harder than a kid full-sprint jumping onto a dry Slip n' Slide, actually sits in the top slot for home video sales.
The movie lost well over $100 million in theaters, and what's worse is that Disney wanted it to become their next big franchise, spanning sequels, toys, video games and theme park rides.
It seems that while it might have at first been written off, the average home video viewer wanted to give it a chance… and it must've been good enough to deserve a recommendation to friends.
It sold the most Blu-rays and the most overall discs, beating out Read the rest of this entry »
[Image via John Carter/Disney.]

TLC Renews My Big Fat American Gypsy Wedding

gypsy-wedding-thing-tlc-renew.jpg
The first season isn't even over yet and TLC has already renewed My Big Fat American Gypsy Wedding for a second season!
That's not all they're doing, either…
They're going to have a reunion episode AND a potential spinoff!
My Big Fat American Gypsy Wedding: The Stanley Sisters will be about Read the rest of this entry 



We're Heading East!

3-ph-june-14-adoration.jpg

Kishido cha bajeti kuunguruma Tanzania..!!

Posted  on June 15, 2012 by amran
Waziri wa fedha Tanzania Dr.Mgimwa akizungumza na waandishi.
Alhamisi ni siku ya Bajeti kwa mwaka wa fedha 2012/13. Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa anatarajiwa kuanza kusoma Bajeti ya Serikali inayosubiriwa kwa hamu na mamilioni ya Wananchi 10.00 jioni saa za Afrika Mashariki.
Hotuba ya Dk Mgimwa itatanguliwa na ile ya Mipango ya Serikali itakayosomwa asubuhi mara baada ya kipindi cha Maswali na Majibu na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira.
Kutwa nzima ya Jumatano, Dk Mgimwa na watendaji wengine wa Wizara ya Fedha walikuwa katika pilikapilika za kukamilisha maandalizi ya bajeti hiyo ya Sh15 trilioni, ambayo inatarajiwa kuwa na vipaumbele saba.Kusoma zaidi bofya Read more »

WAIGIZAJI FILAM WAFURAHISHWA NA KUFANYIKA TUZO ZA FILAM MWAKA HUU:

Posted  on June 15, 2012 by amreezle

Mwigizaji wa filamu Irene Uwoya akiongea mbele ya waandishi wa habari katika mkutano wa kutangaza tuzo za filamu zinazotarajiwa kufanyika hapa nchini TUZO hizo za kwanza kabisa za waigizaji wa filamu zimepangwa kufanyika mwezi ujao, Mratibu wa kampuni ya Bantu Film Award, Stuart Kambona amesema, Mkutano huo umefanyika leo kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Mwigizaji Irene Uwoya amewapongeza waandaaji hao kwa kuanzisha tuzo hizo ambazo alisema zitawapa changamoto kwao kuandaa filamu za ushindani.
Alishukuru kampuni ya Bantu kwa kuanzisha tuzo hizo ambazo anaamini zitawafanya kuandaa filamu zenye ubora wa hali ya juu.
Kwa hisani ya Fullshangwe.

DR.MWAKYEMBE AWASHA MOTO TRL

Posted  on June 14, 2012 by Amran

Baada ya kusafiri kwa treni kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma, Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amebaini hujuma nzito katika Shirika la Reli Tanzania (TRL) ikiwamo ofisa mmoja kuwaibia abiria kwa kughushi viwango vya nauli na ameagiza afukuzwe kazi.
Licha ya kuagiza kutimuliwa kwa ofisa huyo, pia alitangaza kuandaliwa utaratibu wa kufanya mabadiliko kadhaa katika kuboresha usafiri huo, ikiwamo kuondoa malipo ya nusu nauli kwa watoto wadogo kuanzia miaka mitatu hadi miaka 10 na pia kuondolewa kwa utaratibu wa malipo ya mizigo midogo ya abiria.Kusoma zaidi bofya Read more »

Ng’humbi amkatia rufaa Mnyika

Posted 0n June 14, 2012  by amran
Aliyekuwa  mgombea Ubunge jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hawa Ng’umbi  amewasilisha hati ya kusudio la  kukata rufaa katika Mahakama ya Rufaa kupinga hukumu ya kesi ya uchaguzi iliyompa ushindi John Mnyika.
Ngh’umbi, alifungua kesi dhidi ya Mnyika wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akipinga matokeo yaliyompa ushindi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, akidai kuwa kulikuwa na ukiukwaji wa taratibu kanuni na sheria ya uchaguzi katika uchaguzi huo .
Lakini Mahakama Kuu katika hukumu yake ilitupilia mbali madai na maombi ya Ngh’umbi na badala yake ikamthibitisha Mnyika kuwa mbunge halali wa jimbo la Ubungo.  Katika hukumu hiyo aliyoisoma Mei 24, 2012, Jaji Upendo Msuya alisema kuwa Ngh’umbi alishindwa kuthibitisha madai yake na kuonesha jinsi madai hayo yalivyoathiri matokeo ya uchaguzi huo.
Baada ya hukumu hiyo Ngh’umbi alielezea kutokuridhika na uamuzi huo na kudai kuwa anakwenda kujadiliana na wakili wake ili kuona ni hatua gani ya kuchukua. Jana Ngh’umbi kupitia kwa wakili wake, Issa Maige, alianza rasmi mchakato wa kupinga hukumu hiyo baada ya aliwasilisha Mahakama ya Rufani hati ya kusudio la kukata rufaa kupinga hukumu hiyo.
CHANZO:MWANANCHI

Wednesday, June 13, 2012

J UST   CHECK  THIS VIDEO  FROM P-SQUARE FT  RICK  ROSS

This is posted by amran............................ENJOY!!

Video ya Party Zone ya AY kutoka wiki hii

 

Rapper mwenye mafanikio makubwa nchini Tanzania, Ambwene Yesaya amesema video yake mpya inatoka wiki hii.
Video hiyo ambayo ilifanyika mwishoni mwa mwezi uliopita mjini Johannesburg Afrika Kusini imefanywa na kampuni ya God Father Productions inayomilikiwa na mnaijeria Mike Ogeke. Continue reading
Posted in AY

Diva aeleza kwanini sauti yake inafanana na ya Ray C kwenye Piga Simu

 

Baada ya jana kuachia rasmi wimbo wake ‘Piga Simu’ uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu, mtangazaji/mwimbaji Loveness aka Diva ameeleza sababu za kwanini sauti yake inafanana na Rehema Chalamila aka Ray C kwenye wimbo huo. Continue reading

Kwanini Beyonce alimpa mwanae jina la Blue

 

Tangu ijulikane kuwa Beyoncé na Jay-Z wamemuita mtoto wao wa kwanza Blue Ivy watu wamekuwa wakijaribu kutafuta maana halisi ya jina la binti yao. Kuna wale waliofikiri kuwa limetokana na mapenzi ya Jay-Z kwa rangi ya Blue, lakini Bey ameandika shairi ambalo huenda likawa na sababu halisi ya kwanini waliamua kumuita binti yao Blue. Continue reading

AY na Sauti Sol ‘Kushukuru’ pamoja wiki hii ndani ya BBA

 

Huu ni mwaka wa Afrika Mashariki kushine! Na by the way sijui nchi zingine zinajisikiaje juu ya hili? Je! Big Brother Africa mwaka huu inataka kulitumia jukwaa lake kuutangaza muziki wa Afrika Mashariki ili kuunyanyua zaidi labda pengine tuwe sawa na Nigeria na Afrika Kusini, ama muziki wetu ‘unabamba sana’!!! Continue read

Another value woman in Africa


Nneka Lucia Egbuna (born 24 December 1980) is a Nigerian-German hip hop/soul singer and songwriter. She sings in both English and Igbo. Nneka is the daughter of an Anambra state- Igbo Nigerian father and a German mother. She was born and raised in Warri, in the Delta region of Nigeria, and went to the primary school of the Delta Steel Company, then the secondary school at the Nigerian National Petroleum Corporation. Nneka relished the experience of singing from an early age in her school and in the church choir. After relocating to Hamburg, Germany, at the age of 18, she pursued a career in singing alongside a degree in Anthropology. She now divides her time between Nigeria and Hamburg.
 This is Official  video its clld  (DO YOU  LOVE ME NOW).JUST VISIT  nneka on facebook also tweeter.
 

miss kuch kuch in africa

Joy Odiete, popularly known as JODIE, born on the 22nd of June, is a young soulful singer from Nigeria with a personality that exudes African freshness and originality.

Being one the favorite finalists in the premier edition of Idols, West Africa, her debut has been anticipated by fans not only in Nigeria, but among other African viewers.
Finally, her first singles, “Kuchi Kuchi” and “Fighter” are out. “Fighter” was born out of her determination to achieve her musical dream and never give up, while “Kuchi Kuchi” is a simple, soothing and rhythmic track inspired by the love of a child.
Jodie is a singer, songwriter and jewelry artiste. She loves being African and so keeps her virgin hair… Jodie is simply “Jodie”! Nigeria]

J’odie, releases her first video, for the baby-inspired Zouk song which was released at the tail end of 2010. The song exudes innocence and is extremely melodic in its delivery and her style can be described in three words; Soulful, Artsy… Simply African.

Sunday, June 3, 2012

Bongo Star Search: Shindano linalotoa washindi wasiomudu ushindani wa muziki


Mwaka huu Bongo Star Search imekuja na kasi mpya. Ikiwa na wadhamini wapya sasa hivi inajulikana kama Epiq BSS. Udhamini huo mnono unaambatana na kitita cha shilingi milioni 50 zitakazotolewa kwa mshindi wa mwaka huu.
Harufu inayodhihirisha kuwa mashindano ya mwaka huu yanaweza kuwa na utofauti mkubwa imeshaanza kunukia. Kwanza kwa matangazo yanayovutia yaliyoandaliwa na wadhamini, yanayosikika kwenye vituo vya radio na kuamsha hamu ya watazamaji wa TV wanayoyasubiria. Continue reading

Evander Holyfield kwenda jela kama asipotoa hela ya matumizi kwa mtoto!



Bondia mkongwe Evander Holyfield anaweza kukabiliwa na kifungo jela kama asipotoa takriban $300,000 kama fedha za matumizi kwa mwanae.
Bondia huyo hajatoa fedha hizo kwa ajili ya mwanae wa kike Emani,18, tangu April 2010 alipoamriwa na mahakama kufanya hivyo.
Na sasa anadaiwa $372,097.40.
Msemaji wa Evander ameuambia mtandao wa TMZ kuwa hakuwa na taarifa kuhusiana na jambo hilo na kuongeza kuwa, “Holyfield ana uhusiano mzuri na binti yake.”
Hata hivyo ‘Upendo haulipi bili’. Toa hela!

Baada ya Fishcrab,producer Lamar aja na Filmatic



Producer na mshindi wa tuzo za Kili Lamar wa Fishcrab ameamua kuonesha kuwa si uandaaji wa muziki pekee anaouweza bali kamba yake ni ndefu zaidi ya hapo ilipomfikisha.
Mpishi huyo wa midundo ya ukweli nchini, amefungua kampuni mpya chini ya himaya yake ya Fishcrab iitwayo Filmatic.
Akiwa muongozaji mkuu na mchukua picha, mpaka sasa Lamar na timu nzima ya Filmatic ameshatengeneza video tano.
Jana kupitia ukurasa wa Twitter alisema Continue reading

Licha ya kwenda jela, pambano la dhidi ya Mayweather na Pacquiao lanukia



Juzi bondia Floyd Mayweather alijisalimisha mwenyewe jela huko Las Vegas kutumikia kifungo cha siku 87 kutokana na kosa la kumshambulia mpenzi wake wa zamani mbele ya watoto wao.
Hata hivyo hatua hiyo haijaathiri pambano linalongojewa kwa hamu kuliko yote kati yake na mfilipino Manny Pacquiao. Habari njema ni kuwa mabondia hao sasa hivi wanazungumza moja kwa moja.
Kwa mujibu wa mwalimu wa Pacquiao Freddie Roach pambano hilo linanukia.
“Golden Boy (promota wa Mayweather) na (Arum, promota wa Pacquiao) wanachukiana kiasi ambacho wameamua kukaa pembeni. Kwahiyo Manny na Floyd wameanza kuongea wenyewe, ” alisema Roach.
“Watagawana 40-40 na mshindi atachukua hela ya ziada. Kitu ambacho ni sawa sababu kila mmoja anasema atashinda.”

Wakazi aja na kanuni kumi za hela



Ukimuuliza Fid Q ni rappers gani anaowakubali zaidi Tanzania hawezi kukosa kumtaja Webiro Wasira aka ‘Wakazi’. Kama Fid kamkubali hatuna shaka kuwa uwezo wake si haba.
Jamaa anatokea pande za Ukonga, Dar es Salaam lakini kwa muda mrefu sana anaishi Chicago, Illinois nchini Marekani.
Katika ulimwengu wa Hip Hop wakazi ni mfalme wa kanda mseto (mixtape). Mpaka sasa ameshaachia mixtape tatu, MYU: Mixtape Ya Ukweli, MYU2 The Return of The Bilingual Beast na MYU3 Welcome To Heartbreak.
Jumapili hii amekuja na kanuni kumi za hela alizoziweka kwenye vina, ambazo ni hizi zifuatazo:
Continue reading

Wahu akanusha kumuimbia mumewe kwenye ‘Liar”



Mwanamuziki wa kike wa nchini Kenya Wahu amezikanusha story kuwa amemlenga mumewe kwenye wimbo wake Liar.
Kwa muda mrefu wapenzi wa muziki nchini humo wamekuwa wakihisi kuwa anayeambiwa ‘mwongo’ kwenye ngoma hiyo ni mume wake David Mathenge, aka Nameless, ambaye ni maarufu sana kwa mashabiki wa kike.

Katika interview aliyofanya na kituo cha radio cha Easy FM Wahu amesema kisa hicho ni cha kutunga.
“Kila mtu anaendelea kusema, aya, maze sema tu ukweli, you know. (The liar) ni uhusika wa kutunga lakini unaozungumzia mambo yanayotokea. Si unajua watu ni waongo,” alifafanua.
Wimbo huo kutoka kwa mshindi huyo wa tuzo za MTV, Wahu Kagwi umetengenezwa na producer maarufu

Tyrese: Nahitaji kufanya movie nyingine na Taraji



Unaikumbuka filamu maarufu sana ya Baby Boy (2001) aliyoigiza mwanamuziki Tyrese, rapper Snoop Dogg na muigizaji maarufu Taraji P Henson?
Katika filamu hiyo Tyrese ameigiza kama Jody (20) anayeishi na mama yake Juanita. Tyrese ameigiza kama mtoto wa mama fulani ambaye haoneshi dalili ya kuwa mtu mzima na kukabiliana na majukumu kama baba baada ya kumzalisha mpenzi wake Yvette (Taraji P. Henson) mtoto wa kike aitwaye Peanut.
Kwa muda mrefu watu wamekuwa wakisubiri sana ujio mpya wa filamu nyingine itakayowakutanisha wawili hao. Leo (June 2) Tyrese kupitia Twitter ameonesha kuwa yeye pia ana hamu ya kukutana na Taraji. “I need to do another movie with this woman …. Fast … Where is my baby.?” Ametweet akiambatanisha picha waliyopiga pamoja.
Tweet hiyo inatupa maswali mengi hasa anapoandika’ Fast’ kwasababu tunajua kuwa awamu ya sita ya filamu maarufu ya Fast and the Furious ambayo Tyrese yumo kwenye zote tano zilizopita, huenda Taraji akaonekana humo pia! You never know!

Mwezi July mwaka jana Tyrese alitweet pia kwa kuandika, “Official.. Me and my girl Taraji are doing another classic together soon.!! John Singleton will be directing us. And it’s not BB2.”
Vyovyote itakavyokuwa, Taraji na Tyrese wanapendeza sana kuwa kwenye movie moja.

Photos: Maandalizi ya show ya Kili Music Awards winners Tour Dar


Saturday, June 2, 2012

LINAH-AWASILI DAR-ES-SALAAM LEO BAADA YA KUMALIZA TOUR YAKE YENYE MAFANIKIO USA…TAYARI KWA SHOW YAKE YA MISS MWANZA

Posted  on June 2, 2012 by  amran
Linah katika pozi la Finally niko nyumbani baada ya ziara ndefu yenye mafanikio Marekani.
Linah akiwa na mama yake na mdogo wake katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Daressalaam Tanzania.
Bi Linah alipopokelewa kwa shangwe na ndugu yake Neyounce.

Home sweet Home Linah mwenye furaha kubwa baada ya kufika nyumbani kwake.

JK AKUTANA NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA IRAN NA MJUMBE WA RAIS WA BURUNDI IKULU DAR ES SALAAM

Posted  on June 2, 2012 by amran Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Ikulu jijini Dar es salaam Mei 30, 2012 Mjumbe maalumu kutoka serikali ya Burundi, Mh Martin Nivyabandi, ambaye ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa nchi hiyo. Kati ni Balozi wa Burundi nchini Tanzania.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran Mh Muhammad Reza Rahimi Ikulu jijini Dar es salaam Mei 30, 2012. Kiongozi huyo yuko nchini kwa ziara ya kikazi.(PICHA NA IKULU)