amreezle

amreezle

Monday, June 2, 2014

mazishi ya mama mzazi wa Zitto Kabwe June 03.

KIG7Mchana wa June 02 ndiyo yalifanyika mazishi ya mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe Bi.Shida Salum ambaye alifariki juzi Mei 01 Jijini Dar es salaam kisha akasafirishwa kwa ajili ya kwenda kuzikwa Kigoma.
Mazishi yalifanyika saa 9 alasiri.
KIG10
KIG8
KIG7
KIG6
KIG5
KIG4
KIG3
KIG2
KIG1
10341457_725779150817492_6030092353598289884_n

No comments:

Post a Comment