amreezle

amreezle

Saturday, March 10, 2012

DJ CLEO AWASILI BONGO TAYARI KWA BURUDANI YA JUMAMOSI HII.

Mwanamuziki Tlou Cleopas Monyepae maarufu kama DJ Cleo Kutoka nchini Afrika ya Kusini akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere usiku huu, tayari kwa onyesho lake litakalofanyika kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es salaam siku ya  Machi 10, 2012 siku ya jumamosi, Mwanamuziki huyo kwa sasa anatamba na wimbo wake wa FACEBOOK na ameongozana na wanamuziki wenzake wawili 

Mwanamuziki Tlou Cleopas Monyepae maarufu kama DJ Cleo Kutoka nchini Afrikaya Kusini akisalimiana na Mkurugenzi wa Times FM Radio ambaye niye mwenyeji wake wakati alipokuwa akipmokea kwenye uwanja wa ndege wa J.K.Nyerere. 

Mwanamuziki Tlou Cleopas Monyepae maarufu kama DJ Cleo Kutoka nchini Afrika ya Kusini katikati akiongozan na wanamuziki wenzake kwenda kupanda gari tayari kuelekea hoteli ya Protea ambako ndiko walikofikia

No comments:

Post a Comment