Washindi wa tuzo za Kili Awards wapagawisha Mwanza
Posted in Uncategorized on May 7, 2012
Wasanii wa Musiki wa Kizazi Kipya Diamond, Roma, Isha Mashauzi, AT, Barnaba, Omy Dimpoz, Ben Paul wamefunika vibaya katika Tamasha la Kili Music Award Winners Tour lililofanyika katika Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza, na kutoa burudani ya uhakika kwa wapenzi wa burudani ya Muziki wa jiji hilo na vitongoji vyake.
Show hiyo kali iliyoanza majira ya saa 8 mchana ikitanguliwa na makundi kadhaa ya wasanii chipukizi wa Bongo Fleva wa Jijini Mwanza ilizidi kupamba moto muda hadi muda hadi pale wasanii Nguli na washindi wa Tuzo za Kili Music Award 2012 walipowasili uwanjani hapo.Kusoma zaidi bofya Read more »
No comments:
Post a Comment