amreezle

amreezle

Tuesday, May 1, 2012

Waandishi wa habari Iringa kutumia siku ya uhuru wa vyombo vya habari kwa kumweka kiti moto mbunge Msigwa

Posted  on May 2, 2012 

Na Francis Godwin, Iringa.
Wakati kesho mei 3 ni siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani ,wanahabari mkoa wa Iringa wamepanga kufanya maandamano makubwa kwa ajili ya kuadhimisha siku hiyo pamoja na kumweka kiti moto mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa baada ya wananchi wengi kumlalamikia mbunge huyo .
Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) Daud Mwangosi aliyasema hayo leo wakati akizunguza na waandishi wa habari juu ya maandalizi ya siku hiyo ya Uhuru wa Vyombo duniani .
Alisema kuwa mdahalo huu katika ya wapiga kura wa jimbo la Iringa mjini na mbunge huyo wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa utafanyika katika ukumbi wa Highlands ukumbi uliopo katikati ya mji Iringa kutoa nafasi kwa wananchi wote kufika.Kusoma zaidi bofya Read more »

Stock Market Newsletter: “SELL IN MAY…AND GO AWAY”

Posted on May 1, 2012  David Magness-
This OLD STOCK MARKET CLICHE’ has been around since the 1950′s…The STOCK TRADER’S ALMANAC says that for the last 50+ years…this AXIOM has been TRUE about 75% of the TIME…
…Last year [2011]…the DOW PEAKED at 12,876.00 on MAY 2ND…the STOCK MARKET then FELL 2471.51 POINTS to the LOW for the YEAR of 10,404.49…on OCTOBER 4TH…["Sell In May...& Go Away"]
…but this is an ELECTION YEAR…and ELECTION YEARS are VERY UNPREDICTABLE…but we will TRY ANYWAY…
…ALMOST without EXCEPTION…the markets DROP the FIRST WEEK in MAY…so we EXPECT A MAJOR DROP this COMING WEEK…but after that…we believe the BULL MARKET STILL has some distance to GO…before TURNING DOWN…Our PROJECTIONS indicate a MARKET TOP between MAY 15TH and MID JUNE…The LAST DAYS of a BULL MARKET cycle…are USUALLY RAPID and CHAOTIC…
…SUMMARY…We EXPECT A STOCK MARKET DROP THIS COMING WEEK…BUT then…A Trading OPPORTUNITY…TRADERS should therefore…SELL MONDAY and WAIT for this BUYING OPPORTUNITY…to appear…PROBABLY sometime LATER NEXT WEEK…or as EARLY as the END OF THIS WEEK…
…TSP PARTICIPANTS…Sho

No comments:

Post a Comment