amreezle

amreezle

Monday, April 16, 2012

YALIYOJIRI TUZO ZA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS (KTMA) 2012.

Roma akipokea tuzo yake. kaondoka home na tuzo mbili.msanii bora wa hip hop na wimbo bora wa hip hop (mathematics)

Diamond kwenye Red carpet akiwa na mama yake na friend

Warriors From East wakiondoka na tuzo yao ya Wimbo bora wa Reggae

Dushelele pia ilichukua tuzo..Ali Kiba akipokea tuzo hiyo kutoka kwa Dina Marios wa Leo Tena na Reinfred Masako

nyomi la Ukumbini na jinsi palivyopambwa
mi pia nilienda jionea tuzo zetu.

alikua ni Man of the show...Nilicheka sana aisee 

Queen Dalin akichukua tuzo ya wimbo bora wa Ragga / Dancehall kulia ni Abby na kushoto ni Mr Taji Liundi

Prof J na Fella wakiwasilisha tuzo kwa Roma

Rappa bora alikua ni Kitokololo

Msanii kutoka THT akimwaga mavituuuuuuuz

THT dancers wakifanya mambo yao

Red carpet, kila mtu akifanya interview na mtu wake wengine wakisubiri kupiga picha

Mamaa Mboni masimba 


Diamond akiwa na Ommy Dimpoz

Ma MC wa siku hiyo walikuwa ni Millard Ayo na mwanadada Vanessa Mdee


Dayna

Saraha alinifurahisha sana baada ya kuimba wimbo wa Lady Jay Dee

Queen dalin alipoimba wimbo wa Saida Karoli

Ommy Dimpoz akipokea Tuzo

Sharo Millionea na Mzee Majuto

Mwana mama Khadija Kopa akipokea tuzo ya mtumbuizaji bora akiwa na wanawe wakike 


No comments:

Post a Comment