amreezle

amreezle

Saturday, October 15, 2011

RIP J.K Nyerere



TUNAADHIMISHA SIKU YA MWALIMU NYERERE LEO




Kaburi la Mwalimu Butiama

Mwalimu na Mama Maria enzi hizoMwalimu na Mama Maria walipomtembelea mama mzazi wa Julius Kambarage Nyerere
Mwalimu akiingia kanisa la St. Peters. Alikuwa mcha Mungu sana
Mwalimu na Marais Kenneth Kaunda wa Zambia,Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya na Dr Milton Obote wa Uganda
Mwalimu akimkumbatia JK baada ya kukubali matokeo ya kura za kuwa mgombea urais wa CCM Mwaka 1995 huko Dodoma
Mwalimu akiongea na Mwandishi Freddy Macha walipokutana Rio de Janeiro, Brazil
Mwalimu na Mama Maria wakiwa India nyumba ni kwa Mama Indira Gandhi na mwanae Rajiv
Mwalimu akimkaribisha Madiba Ikulu, DarMwalimu akitembea kuunga mkono Azimio la Arusha kwa kutembea toka Butiama Mwalimu, Mama Maria na Mzee John Malecela wakiwa na Iddi Amin, UgandaMwalimu akiwa na viongozi wengine wa nchi zisizofungamana na upande wowote Mwalimu akitaniana na Tom Mboya na viongozi wengine Kenya
Mwalimu akisalimiana na Iddi Amin Dadah wakati wa mkutano wa OAU Addis Ababa, Ethiopia
Mwalimu na Mzee Malecela katika mkutano wa OAU ambapo Iddi Amini alikuwa akihutubia Mwalimu akicheza bao na wazee wa Butiama huku Rais Ali Hassan Mwinyi na Mama Maria wakishuhudia Mwalimu na Fami


MR BEEN JUKWAANI KWA MARA NYINGINE TENA


Muigiza na mchekeshaji Maarufu kama Mr Been Rowan Atkinson ameamua kurejea latika maigizo ya jukwaani mara baada ya kukaa kando kwa kipindi kirefu.Been ameamua kurudi kuchekesha wapenzi wake ambao wamemiss vituko vyake takribani miaka 20 sasa kwa mujibu wa chanzo alisikika akisema
Nimeamua kurudi katika maigizo ya ukumbini,kwanza yananipa hamasa kubwa kwa maana natoa kitu mbele ya mashabiki na wanapokea moja kwa moja nikiwa karibu yao,ni takribani miaka 20 sasa ila nawaaidi nitawapa kitu bora zaidi..Been kwa sasa ana umri wa miaka 56


SAUTI YA JOGOO YA NIKKI MBISHI

Wakati wimbo wake “Sauti ya Jogoo” ukiendelea kujaribu kuamsha Watanzania, bila shaka watu wengi wanataka kufahamu kitu gani hasa kilimsukuma Nikki Mbishi kuandika wimbo kama ule mashairi mazito yaliyowasilishwa kwa utulivu na mpangilio wa hali ya juu.
Nikki alisema haya: “Nilikuwa nawaza kuongelea uhalisia wa tasnia ya siasa Tanzania inavyojenga matabaka baina ya watu wa ‘chini’ na wa ‘juu’. Na pia nilitaka kuwakumbusha watu majukumu yao kama jogoo awaamshavyo waliolala alfajiri inapojir


ALBAMU YA GRACE MATATA KUTOKA MWISHO WA MWAKA HUU

We are surely in for a treat with Grace Matata’s debut album, Nyakati; expected to hit the stores at the end of this year the exact release date is yet to be confirmed.
Not wanting anticipation and curiosity to continue tormenting her fans, Ms. Matata is introducing her new song “Hallo Baby”, featuring Otuck. The song certainly sets the right mood for the big day. If her soulful voice saying “Hallo Baby” is not mesmerizing enough, then wait for the sound of the guitar strings at the end. Ms. Matata invites you to ‘ imba nami‘, because her album has something for everyone.

No comments:

Post a Comment