amreezle

amreezle

Sunday, October 9, 2011

Usiombe Udaiwe Naijeria

| Wednesday, October 05, 2011
Mzee mmoja akiwa amekaa na fisi wake kwenye kijiji cha Rinka, nchini Naijeria. Watu wanaodai wenzao hutumia wanyama wa kutisha kama fisi kudai wadaiwa. Ukikataa kulipa basi tena....hakuna msalie mtume... fisi anaachiliwa....

No comments:

Post a Comment