
Je, ni kweli kwamba kuna dawa ya mapenzi?Ni kweli kwamba “karumanzira” anaweza kusababisha mshawasha wa mahaba ndani ya nyumba ukazidi? Kuna ukweli wowote kwamba “mzee wa busara” anaweza kusababisha fulani atoke kwa yule wake na aje kwako?Sijui ila ninachokumbuka ni kwamba gwiji la muziki nchini Tanzania,Hayati Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba kwamba Mapenzi Hayana Dawa.Msikilize Sagna kisha useme yaliyoko moyoni mwako.
Read more:- BongoCelebrity
No comments:
Post a Comment