amreezle

amreezle

Thursday, September 29, 2011


DIDDY-DIRTY MONEY ASHITAKIWA NA PAPARAZI...!

SEAN DIDDY COMBS
Mpiga picha toka Atlanta amemshitaki CEO wa Bad Boy,Sean “Diddy” Combs, na kudai kuwa bodyguards wake walimpa vitasa kwenye BET Awards Afterparty,October mwaka jana
Mpiga Picha huyo kwa jina la Jabari Tilgham,alidai kuwa alikua anamfotoa Diddy kwenye party hiyo iliyofanyika pande Club Mansion Elan,alipigwa na kusababishiwa majeraha kadhaa

No comments:

Post a Comment