amreezle

amreezle

Thursday, September 22, 2011

kijana wa shoka toka jamaica....

SEAN KINGSTON....CHUPU CHUPU....UGANDA....!

KISEAN ANDERSON - SEAN KINGSTON

Baada ya kufanya bonge la performance pande za Lugogo cricket oval,Sean Kingston alishuka kwenye stage na kuitwa tena na MC of the night,Dave Kazoora na Kazoora kuanza kumfagilia Sean Kingston kwa show kali ya nguvu....lakini alifunguka zaidi kwa kuomba saa yake na kudai kuwa international artist yoyote anayekuja Uganda,huwa wanabadilishana vitu coz alivyokuja R Kelly hajakuwepo na kwa sasa itabidi arekebishe

No comments:

Post a Comment