amreezle

amreezle

Thursday, September 22, 2011

Mtu mzima afunguka live....

NE-YOA ACHUMBIA....KUPATA MTOTO WA 2 OCTOBER....!

SHAFFER CHIMERE SMITH JR - NE YO

Artist mkali wa R & B,Shaffer Chimere Smith,Jr. Aka Ne-Yo,ametangaza amaemchumbia baby mama wake na kutangaza ujio wa mtoto wa pili

....NE-YO NA 'WYFE WAKE 2 BE'....MONYETTA SHAW....

Ne-Yo amemchumbia longtime girlfriend,Actress Monyetta Shaw na wanatarajiwa kupata mtoto wao wa 2 mwezi October,2011 pamoja baada ya kupata mtoto wa kwanza aitwaye Madilyn Grace mwezi November 2010,lakini hawajafunguka ni lini watafunga ndoa rasmi

No comments:

Post a Comment