amreezle

amreezle

Thursday, September 29, 2011

Wadau mmeiskia hiyo....!


MAAFA YA KIMBUNGA...GUATEMALA!


Huwezi kuamini kuwa kimbunga kinaweza kuleta madhara makubwa kiasi hiki...Hii imetokea Nchini Guatemala,baada ya mvua kunyesha kwa sanaaa na Kimbunga Agatha kusababisha maafa makubwa.
Inasemekana watu zaidi ya 150 wamepoteza maisha baada ya maji yenye kina cha futi 3 kujaa kwenye mitaa ya nchi hiyo na huwezi amini hilo shimo limemeza nyumba ya ghorofa 3 nzima ardhini.....Duh kweli dunia ina mambo!

MHHH!...KU-DOWNLOAD IMEKUA SO!!!!


Kuna tabia ya watu huwa wana-download movie mbali mbali kwenye Internet,Lakini watengenezaji wa Movie ambayo imeshinda Tuzo za Oscar,THE HURT LOCKER.Movie ya kivita ya kimarekani ambayo imetwengenezwa nchini Jordan karibu na mpaka wa Iraq,Wamewashitaki zaidi ya watu 5000 ambao wali-download movie hiyo kinyume cha sheria au ulipe faini kishkaji $ 1,500 au wakikulipeleka mahakamani utalipa mara 10 zaidi yaani $ milioni 1.2 Duh!

No comments:

Post a Comment