amreezle

amreezle

Friday, September 30, 2011

man kunani?

ujeruman kunani?
Ukuta wa Berlin mnamo mwaka 1980 upande wa kushoto: Berlin Mashariki (angalia kanda la mauti mbele ya ukuta wamapopita askari; hapo walinzi walipaswa kumfyatulia risasi kila mtu aliyeingia); upande wa kulia: Berlin Magharibi ambako ukuta ulichorwa picha na vijana Eneo la Berlin Magharibi lilikuwa kama kisiwa ndani ya Ujerumani Mashariki

No comments:

Post a Comment