amreezle

amreezle

Thursday, September 29, 2011

Wakenya walipata mshangao!


Cabo Snoop arrive in KENYA for tusker all star show! this 1/sep/2011


Mwanamuziki anayetamba na wimbo wake wa Prakatumba, Cabo Snoop kutoka Angola, yuko nchini Nairobi kwa shoo maalum ya Tusker itakayowakutanisha na kina Shaggy na Eve. Pichani juu na chini Cabo akiwasili na kuongea na wanahabari Uwanja wa Kimataifa wa Jomo kenyata Kenya jana. Shoo inafanyika Jumamosi hii.


Warembo wa Tusker wakiwa tayari kuwapokea wageni wao Uwanja wa Ndege  Nairobi

No comments:

Post a Comment