amreezle

amreezle

Thursday, September 22, 2011

Maisha na Mitindo!

.
Tuesday, September 20, 2011
BEYONCE....KUTUMIA $ MIL 1 KWA UJAUZITO....!

BEYONCÉ GISELLE KNOWLES - MRS JIGGA

Za Chini ya Carpet zinadai kuwa Artist Beyoncé na husband wake,Rapper Jay-Z wana mpangoi wa kutumia zaidi dola milioni 1 kwa ajili ya mtoto wao mtarajiwa kabla ya aka Queen B hajajifungua

JIGGA vs QUEEN B

Bajeti hiyo ni kwa ajili ya afya ya Queen B ikiwemo misosi ya kujenga mwili,kufanyiwa massage kila siku na utitiri wa lotion kwa ajili kuiweka afya ya ngozi yake iwe fiti huku Jay Z aka Jigga akihakikisha vitu vyote vinafanyika kama vilivyopangwa,coz Beyoncé alisubiri kwa hamu muda mrefu sana kupata mtoto

Posted

No comments:

Post a Comment